June 08, 2016

13394916_1169120956479247_963583199_n

Muongozaji wa video za Bongo ambaye anafanya vizuri Msafiri Shabani kutoka kampuni ya Kwetu Studio amesema changamoto kubwa wanayokutana nayo waongozaji wa hapa nchini ni location.

Akiongea na E-Newz ya EATV, Msafiri alisema ameanza kwenda kufanya video zake Afrika Kusini kutokana na uhakika na uharaka wa upatikanaji wa vitu kwaajili ya kazi zao kwakuwa kwa Tanzania inachukua muda mrefu wa kupata ruhusa ya kukamilisha kazi zao.





Msafiri Shabani
“Unakuta unaambiwa uandike barua, barua yenyewe inaweza ikaenda kujadiliwa mpaka wewe unakuja kupewa jibu tayari umeshaenda South Afrika umeshuti na tayari video umeshatoa. Hata katika location unakuta mtu mpaka akugeie gari ama nyumba mpaka muwe mnajuana wakati ukienda South chochote unachokitaka vipo vya kukodi ni wewe tu ukiwa na pesa,” alisema.
Pia Msafiri aliongezea kuwa sababu nyingine inayowafanya wakashuti video hizo nje ni kutokana na kuangalia wengine wanafanya nini ili nao waweze kushika nafasi nzuri katika soko la ushindani pia akidai kuwa inasaidia kupandisha thamani ya msanii kwakuwa anaonekana ana uwezo wa kutengeneza pesa kwaajili ya kufanya kazi zake.

Related Posts:

  • Mapya Yaibuka sakata la Makonda na Meya Jacob Suala  la Meya wa Ubungo, Boniface Jacob na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, limechukua sura mpya baada ya meya huyo kuitwa  Sekretarieti ya Maadili ya Utumishi wa Umma na kutakiwa kujibu shauri … Read More
  • Penzi la Wolper na Brown chali?   Duniani kuna mambo, Ile couple ya Amber Rose na 21 Savage ya Bongo inayomuhusu muigizaji wa filamu  Jackline Wolper na Brown dezaini kama limekufa hivi. Wawili hao ambao walionekana wakiwa wameshibana kima… Read More
  • Aslay aiteka Morogoro , Samaki Spot   Mkali wa muziki wa Bongo fleva anayetamba kwa sasa toka Dingi Int. Aslay Isihaka, wikendi iliyopita aliiteka Morogoro pale alipopiga bonge ya show katika ukumbi wa Samaki Spot mkoani Morogoro. Aslay alionekana ku… Read More
  • Hamisa Mobetto kuwania tuzo za South Africa Mwanamitindo, Hamisa Mobetto amepata shavu kwa kutajwa katika msimu wa nne wa tuzo za Starqt Awards zinazohusisha biashara, mitindo, burudani na vitu vingine. Hamisa ametajwa katika tuzo hizo kwa kuwania vipengele&nb… Read More
  • Barcelona warudi tena mahakamani Suala la Neymar bado ni bichi na inaonekana wazi kwamba Barcelona bado hawajaridhika na mchakato huo jinsi ulivyokwenda pamoja na ukweli kwamba tayari Neymar ameanza kuvaa jezi ya PSG. Barcelona wameamua kurudi tena mah… Read More

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE