
Hii ni Taarifa kutokea Tengamano Tanga ambapo imedaiwa mti aina ya muembe umetokezea taswira ya Mwalimu Nyerere upande wa kwanza na Mama Maria Nyerere upande mwingine. Tukio hilo limesemekana lilianza kujitokeza June 6 2016, millardayo.com imempata shuhuda Awadhi Ally kutokea eneo la tukio usiku wa saa tano, na ameeleza kuwa……………
>>>’ni kama muujiza fulani sio kwamba jambo hili liliwahi kujitokeza, hapa nilipo ndio naona hali halisi ya huu muembe ni kama mtu alijaribu kuuchonga’
Bonyeza play hapa chini kusikiliza
0 MAONI YAKO:
Post a Comment