Baad aya kukaa kimya kidogo katika upande wa muziki, sasa mwana dada Diva Loveness Love ameachia rasmi wimbo wake mpya unaoitwa Baby Boy. Katika wimbo huo Diva amewashirikisha Bill Nass na Mr. Blue. Wimbo umefanyika Fish Crub chini ya Producer Lamar pamoja na Ambrosi Dunga
CHARLERS TAYLOR JELA MIAKA HAMSINI.
Mahjaji
katika mahakama ya kimataifa ya uhalifu wa kivita ICC wamemuhukumu
kifungo cha miaka 50 jela Raisi wa zamani wa Liberia baada ya kukutwa na
makosa 11 ya kuwasaidia waasi wa Siera leon na kusababisha vifo vya…Read More
CORRECTION KWA MUANDISHI WA GAZETI LA SANI
Hello ... mamboz ,chilling here
watching telenovela na nimeamua sasa kuangalia lipi na ku deal nalo na
sijajua hayo mengine ila hili la sani lazima nilijibu Period.
Najibu mimi as mimi kama Mlivyoandika ...
g…Read More
0 MAONI YAKO:
Post a Comment