July 04, 2016

  Baad aya kukaa kimya kidogo katika upande wa muziki, sasa mwana dada Diva Loveness Love ameachia rasmi wimbo wake mpya unaoitwa Baby Boy. Katika wimbo huo Diva amewashirikisha Bill Nass na Mr. Blue. Wimbo umefanyika Fish Crub chini ya Producer Lamar pamoja na Ambrosi Dunga

Related Posts:

  • Monalisa aibuka muigizaji bora Afrika   Mona akiwa na mpinzani wake Lupita Nyongo toka Kenya   Mrembo na muigizaji mkongwe kwenye tasnia ya filamu nchini Yvonne Cherrie maarufu kama 'Monalisa'  ameibuka mshindi kwenye tuzo za 'The African P… Read More
  • Official video: Bora Nife - Aslay X Bahati Mwanamuziki Aslay kutoka nchini tanzania, amevuka mipaka mpaka kufikia code ya +254 namaanisha nchi jirani ya Kenya na kukutana na mwanamuziki Bahati na kufanya huu wimbo wa Bora Nife.      … Read More
  • Yanga yaenda Ethiopia bila nyota wake Klabu ya soka ya Yanga imesafiri kuelekea nchini Ethiopia leo Alfajiri ikiwa na kikosi cha wachezaji 20 na viongozi 13 wakiwemo 8 wa benchi la ufundi. Lakini timu hiyo imesafiri bila ya nyota wake Ibrahim Ajib amba… Read More
  • Uchaguzi TLS, Wakili Fatma Karume amlithi Tundu Lissu   Wakili Msomi Fatma Karume ameshinda nafasi ya Urais wa Chama Cha Mawakili wa Tanganyika (TLS) na kuwa mrithi wa Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu ambaye amemaliza muda wake leo kutumikia nafasi hiyo kama R… Read More
  • Usafiri wa Mwendokasi umesitishwa   Kampuni inayotoa huduma katika mradi wa mabasi yaendayo haraka (UDART) imeamua kusitisha usafirishaji wa abiria kwa baadhi ya njia kuanzia saa 11:00 alfajiri kutokana na kufungwa kwa barabara ya Morogoro eneo la … Read More

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE