July 18, 2016

17

Vibanda vya wafanyabiashara katika soko la Mwana Kwerekwe Zanzibar vimetetekea baada ya moto mkubwa kuwaka sokoni hapo.

Chanzo cha moto huo ni uchomaji watakataka pembezoni mwa soko hilo. Wakati takataka hizo zikichomwa nfio upepo ulipeperusha moto huo na kisha kulipuka na kuchoma vibanda hivyo.
IMG-20160718-WA0061 



 IMG-20160718-WA0063 


 IMG-20160718-WA0066 


 IMG-20160718-WA0067 


 IMG-20160718-WA0068

Related Posts:

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE