July 18, 2016

17

Vibanda vya wafanyabiashara katika soko la Mwana Kwerekwe Zanzibar vimetetekea baada ya moto mkubwa kuwaka sokoni hapo.

Chanzo cha moto huo ni uchomaji watakataka pembezoni mwa soko hilo. Wakati takataka hizo zikichomwa nfio upepo ulipeperusha moto huo na kisha kulipuka na kuchoma vibanda hivyo.
IMG-20160718-WA0061 



 IMG-20160718-WA0063 


 IMG-20160718-WA0066 


 IMG-20160718-WA0067 


 IMG-20160718-WA0068

Related Posts:

  • Kiungo wa Zambia asaini kuitumikia Yanga miaka 2 Hatimaye klabu ya Yanga imefanikiwa kumsajili rasmi kiungo mkabaji kutoka Zambia, Justine Zulu kwa mkataba wa miaka miwili.Kiungo huyo anaungana na kocha wake wa zamani aliyekuwa anamfundisha kwenye timu ya Zesco United y… Read More
  • SAKATA la Dangote Kaa la Moto   SIKU moja baada ya Kiwanda cha Dangote kilichopo mkoani Mtwara kuripotiwa kwamba kimesitisha uzalishaji, watu mbalimbali wakiwamo, wanasiasa, wachumi na wachambuzi wameibuka na kuishangaa Serikali namna inavyoshu… Read More
  • Diamond Platnumz na Zari Wanatarajia Kupata Mtoto Jumatatu Ijayo. Ilikuwa ni Miezi,Ukabaki mwezi,Na sasa ni Siku tu,Yes! Ni Good News kwa Familia ya Diamond Platnumz na ya Mama Tiffah,Lakini pia hata kwa mashabiki wa wawili hao kwani Jumatatu ya wiki ijayo wanatarajia kupa… Read More
  • Mti mrefu zaidi Afrika wagunduliwa Tanzania Mti huo uko bonde moja lililo Kusini Mashariki mwa Tanzania. Wanasayansi wanasema kuwa wamegundua kile wanaamini kuwa ni mti mrefu zaidi barani Afrika. Mti huo uko bonde moja lililo Kaskazini Mashariki mwa Tanzania… Read More
  • Darassa aeleza sababu ya kuogopa kutoa album Ukitaja wasanii wanaofanya vizuri kwa sasa hapa Bongo, huwezi kuacha kumtaja Darassa ambaye anafanya vizuri na ngoma yake ya Muziki aliyomshirikisha mfalme wa Rnb Bongo,Ben Pol. Wiki iliyopita kupitia kipindi cha X… Read More

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE