IKIWA
ni mwaka mmoja kamili tangu kuchaguliwa kwake na kuingia madarakani
kuwatumikia Watanzania, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt
John Pombe Magufuli ‘JPM’ ametajwa kuwania tuzo ya ‘Forbes Africa Person of The Year.’
Katika tuzo hiyo, JPM anachuana na watu
wengine wanne wakiwemo: Rais wa Mauritania, Ameenah Gulib, Mwanzilishi
wa Capitec Bank, Michiel Le Roux na Thuli Madonsela wa Afrika Kusini
pamoja na watu wa Rwanda.
Ili kukamilika ukipagi kura, zimebaki
siku 22 tu wakati hadi sasa Rais Magufuli anaongoza akiwa na asilimia
74%. Unaweza kumpigia kura Rais Magufuli kwa BOFYA HAPA KUMPIGIA KURA J P MMatokeo mpaka sasa ni
1%
2%
1%
80%
15%
0 MAONI YAKO:
Post a Comment