November 12, 2016


MTWARA: Askari Polisi aliyejulikana kama PC Sengerama, adaiwa kujiua kwa kujipiga risasi kifuani. Yadaiwa kuna matatizo yalimsibu.

Mwili wake uko njiani unasafirishwa kupelekwa nyumbani kwao mkoani Mwanza kwa ajili ya maziko

Related Posts:

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE