December 01, 2016

Darassa aeleza sababu ya kuogopa kutoa album

Ukitaja wasanii wanaofanya vizuri kwa sasa hapa Bongo, huwezi kuacha kumtaja Darassa ambaye anafanya vizuri na ngoma yake ya Muziki aliyomshirikisha mfalme wa Rnb Bongo,Ben Pol.
Wiki iliyopita kupitia kipindi cha XXL cha Clouds FM,Diamond Platnumz alitangaza kuja na album yake,lakini Rapper Darassa haamini kama soko la album kibongobongo linaruhusu kufanya hivyo.
Darassa ameiambia Dizzim Online kuwa yuko tayari kutoa album hata sasa hivi,lakini misingi la soko hilo ndio linamuogopesha.


                    

Related Posts:

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE