December 01, 2016

Darassa aeleza sababu ya kuogopa kutoa album

Ukitaja wasanii wanaofanya vizuri kwa sasa hapa Bongo, huwezi kuacha kumtaja Darassa ambaye anafanya vizuri na ngoma yake ya Muziki aliyomshirikisha mfalme wa Rnb Bongo,Ben Pol.
Wiki iliyopita kupitia kipindi cha XXL cha Clouds FM,Diamond Platnumz alitangaza kuja na album yake,lakini Rapper Darassa haamini kama soko la album kibongobongo linaruhusu kufanya hivyo.
Darassa ameiambia Dizzim Online kuwa yuko tayari kutoa album hata sasa hivi,lakini misingi la soko hilo ndio linamuogopesha.


                    

Related Posts:

  • Nay wa Mitego achukua maamuzi magumu kuhusu mtoto Nay wa Mitego na Mtoto wakeNay wa Mitego Amesikitishwa na Kauli ya Mzazi mwenzake SIWEMA ambaye wamezaa naye mtoto kwa kusema kuwa mtoto huyo si wa kwake bali ni wa aliyekuwa  Mpenzi wake wa zamani Obasanjo...Japo Wahen… Read More
  • Ndege ya Ujerumani yaanguka nchini UfaransaNdege ya shirika la ndege la Germanwings Ndege ya abiria inayomilikiwa na shirika la ndege la Germanwing Airbus A320 Imeanguka katika milima ya Alps nchini Ufaransa. Ndege hiyo ilikuwa imewabeba abiria 142 na wahudumu 6 ikito… Read More
  • England kuandaa kombe la dunia  Sepp Blatter Rais wa FIFA England sasa inafikiria kuingia katika kinyanganyiro cha kuwa mwenyeji wa fainali za kombe la dunia mwaka 2026 baada ya kujaribu bahati hiyo ilii iandae fainali hizo mwaka 2018 lakini ilijikut… Read More
  • Stamina na Fiq Q ndani ya ngoma hii mpya kabisa.    Hii ni kazi nyingine kabisa toka kwa mkali wa Hip Hop Tanzania Stamina Kabwela, hapa kamshirikisha mkali wa Hip Hop toka Mwanza Fid Q, wanakwambia Like Father like Son. Audio ya wimbo huu imefanywa kwa umahil… Read More
  • Mwandishi wa habari ashtakiwaMwandishi mmoja wa habari mashuhuri ambaye pia ni mkereketwa wa haki za kibinadamu amefikishwa mahakamani nchini Angola kwa mada Mwandishi mmoja wa habari mashuhuri ambaye pia ni mkereketwa wa haki za kibinadamu amefikishwa m… Read More

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE