April 26, 2017

 

Msanii wa Bongo Fleva Ali Kiba  ambae anafanya vizuri kwa sasa kupitia wimbo wake wa Aje amepata nafasi ya kushiriki katika tamasha kubwa la mitindo huko london
Kupitia ukurasa wake wa Instagram Ali Kiba amewajuza mashabiki zake kwa kupost ujumbe  ulioonesha kupata nafasi ya kutumbuiza katika tamasha hilo ambalo linafahamika kama One Africa Premium Fashion litakalofanyika tarehe 12 mwezi wa 5  Jijini London akiwa na wasanii wengine kama Victoria Kimani ,Flavour,Bank W ,Tiwa Savage na wengine “One Africa Fashion at the heart of London Cc @pauloo2104 #alikibaworldtour2k17 #kingkiba”

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE