Shose 'wazza' Fidelis
Hata hivyo habar zaidi zadai capt wa mabingwa hao wapya wa kombe la fa hakuumia sana.na ameendelea na safari kwenda jijini dsm ktk kambi ya timu ya taifa.
Jeshi la Polisi bado hawajathibitisha kutokea kwa ajali hiyo na chanzo cha ajali hiyo.
Habari kwa hisani ya Nickson Mkilanya
0 MAONI YAKO:
Post a Comment