Mwili wa Marehemu Mfanya biashara Ivan, hatimaye umewasili nchini Uganda na kupokewa na mamia ya waombolezaji. Vilio, huzuni na majonzi vimetawala katika uwanja wa Ndege wa Entebe nchini humo. Ivan ambaye ni mzazi mwenzie na Zarina Hassan ambaye kwa sasa anaishi Diamond Platnum, alifariki usiku wa Alhamis nchini Afrika Kusini alipokuwa amelazwa.
May 28, 2017
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 MAONI YAKO:
Post a Comment