Michuano ya Kombe la mataifa ya Afrika chini ya miaka 17 AFCON , imemalizika usiku huu nchini Ghabon na Timu ya taifa ya Mali wameweka rekodi baada ya kufanikiwa kutetea ubingwawao kwa kuifunga timu ya Taifa ya Ghana Goli moja kwa nunge.
Madeleka aibwaga Jamhuri kesi za kubambikiwa
-
Wakili Peter Madeleka ameshinda rufaa yake namba 263 ya mwaka 2022
aliyoikata dhidi ya Jamhuri katika Mahakama ya rufani nchini akiomba
mahakama hiyo kuruh...
3 hours ago
0 MAONI YAKO:
Post a Comment