Kutoka katika Kanisa la Ufufuo na Uzima Leo Jumapili 28 Mei 2017, Baba Askofu Josephat Gwajima, anaendesha ibada ya Jumapili katika kanisa hilo. Tumekuwekea ibada hiyo moja kwa moja hapa . ili uweza kufwatilia bonya hapa chini kisha twende sawa
Brand New Video: Eneka - Diamond Platnum
Simba wa Bongo fleva Tanzania Diamond Platnumz, ametuletea Video ya wimbo wake mpya wa Eneka. Tunakupatia Fursa ni yako sasa na muda ni wako. Enjoy video hiyo mpya ya Simba
&…Read More
Azam FC yachezea 4 Kigali
Na Mwandishi wa Binzuery, KIGALI
AZAM
FC jana imechapwa mabao 4-2 na Rayon Sport ya Rwanda katika mchezo wa
kirafiki kujiandaa na msimu mpya Uwanja wa Amahoro, Kigali.
Mabao
ya Rayon yalifungwa na Pierre Kwizera daki…Read More
Video: Miaka 15 ya Saida Karoli hii hapa
Kama uliikosa Show ya maadhimisho ya miaka 15 ya Saida Karoli ndani ya game ya Bongo Freva, sisi tumekupatia baadhi ya matukio ya show hiyo. Tazma hapa sasa
&nbs…Read More
0 MAONI YAKO:
Post a Comment