May 01, 2017

Image result for jacob zuma 
 
Rais wa Afrika Kusini anayekumbwa na kashfa Jacob Zuma, ameondoka kwenye mkutano wa siku ya kimataifa ya wafanyazi baada ya kukemewa na wafanyakazi wanaomtaka ajiuzulu.
Fujo zilizuka kati ya wafuasi wa Bwana Zuma na wapinzani na kusabababisha hotuba yake kufutwa.
Chama kikuu cha wafanya kazi Cosatu, kilimtaka Bwana Zuma ajiuzulu mwezi uliopita baada ya kumfuta kazi waziri wa fedha alijekuwa akiheshimiwa sana.Bwana Zuma ameapa kusalia ofisini hadi muhula wake ukamilike mwaka 2019

 Maandamano yamekuwa yakifanyika kumtaka Zuma ajiuzulu 
Maandamano yamekuwa yakifanyika kumtaka Zuma ajiuzulu
 
Alionyeshwa na runinga akiondoka jukwaani kwa hasira na kuondolewa na magari kutoka kwa mkutano ulioandaliwa mjini Bloemfontein
Maafisa wa vyeo vya juu wa ANC nao walikemewa kwenye mkutano uliofanyika mjini Durban.Shinikizo za kumtaka Zuma ajiuzulu zimekuwa zikoongezeka tangu amfute kazi waziri wa fedha Pravin Gordan mwezi Machi.
 

Related Posts:

  • Alosto ya G Nako hii hapa Mwanamuziki kutoka katika kundi la WEUSI Kampuni, G. Nako, amekuletea wimbo wake mpya unaoitwa Alosto. Katika wimbo huo G. Nako amewashirikisha wasanii Niki wa Pili pamoja na Chin Bees na wimbo huo umefanyika katika stud… Read More
  • Master J awachana wasanii wa Hip Hop Mtayarishaji mkongwe wa muziki hapa Bongo, Master Jay amewajia juu wasanii wa Hip Hop bongo kwa kushindwa kutumia fursa zilizopo. Miaka ya hivi karibuni muziki wa Hip Hop nchini umeonekana haulipi huku baadhi ya wasa… Read More
  • Polisi wauwa jambazi Mwanza   Jeshi la Polisi jijini Mwanza limemuuwa mtu mmoja anaesadikiwa kuwa jambazi kati ya Watatu katika mtaa wa ilemela majira ya saa nne usiku huu. Watatu hao walikuwa na bunduki tatu aina ya SMG,wawili walifanikiw… Read More
  • Zitto Kabwe amtolea uvivu Rais Magufuli  Mbunge wa Kigoma Mjini kupitia chama cha ACT Wazalendo na kiongozi wa chama hicho Zitto Kabwe, amemtolea uvivu rais Magufuli na kuandika hiki katika AC yake ya Facebook "Rais Magufuli tunakuunga mkono kwa dhati kupa… Read More
  • Meneja wa Diamond Sallam - SK azungumzia majukumu yake WCB na kluhusu kumchukua Mavoco   Meneja wa Diamond Platnumz, Sallam Sharraf amezungumzia majukumu yake kwenye label ya WCB. Akiongea na mtangazaji Divine Kweka kwenye kipindi cha The Premier cha Kings FM ya Njombe, Sallam alisema yeye ni men… Read More

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE