June 05, 2017

 
Baada ya taarifa kuenea kwenye vyombo vya habari kuwa Mh.Halima Mdee na Ester Bulaya, kupewa adhabu ya kutohudhuria vikao vya bunge hadi 2018/19, Mbunge wa Kawe, Halima Mdee ametoa kauli yake ya kwanza.



Mdee ambaye yupo mkoani Kilimanjaro kwaajili ya kuaga mwili wa aliyekuwa mbunge wa Moshi, Philemon Ndesamburo, amedai haumizwi kichwa na tukio lililotekea bungeni.

Tunamsindikiza jemedari wa MAGEUZI MHE PHILEMON NDESAMBURO kwenye nyumba ya milele!Porojo za DOM haziniumizi kichwa!

alitweet Mdee.



Halima Mdee na Bulaya wanaadhibiwa kwa kosa la kudharau mamlaka ya Spika wa bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE