June 05, 2017

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli ameishukuru serikali ya Kuwait kwa kutoa shilingi bilioni 110 kujenga barabara ya Chaya – Nyahua mkoani Tabora yenye urefu wa Kilometa 85 ambayo itaunganisha mawasiliano ya barabara kati ya mkoa wa Singida na Tabora.

Rais Magufuli akiwa katika mazungumzo na Balozi wa Kuwait nchini Mhe. Jasem Ibrahim Al Najem alipofika kumtembelea Ikulu jijini Dar es salaam

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE