
BENKI ya CRDB imefungua rasmi tawi jipya katika Mji
wa Chake chake kisiwani Pemba, Julai 29, 2017, ikiwa ni muendelezo wa
utaratibu wa Benki hiyo wa kuwafikishia wananchi huduma za kibenki
karibu na maeneo.
Akizungumza baada ya kufungua tawi hilo,mgeni Rasmi katika Hafla hiyo Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Ali Mohanmed Shein alisema anaipongeza Benki hiyo kwa kuona umuhimu wa kuweka tawi
lake Pemba, kwani itawafanya wananchi wa eneo hilo kujitokeza kwa wingi
kuweka fedha zao. Hivyo anaimani uwepo wa tawi hilo, utawanufaisha
wananchi wa Pemba.

Mkugenzi
Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dkt. Charles Kimei akisalimiana na Mkuu wa
Wilaya ya Chakechake, Salama Salama Mbarouk wakati wa mapokezi ya Mgeni
rasmi katika ufunguzi rasmi wa Tawi jipya la Benki ya CRDB lililopo katika Mji wa Chake chake, kisiwani Pemba, Julai 29, 2017.Kushoto ni Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Benki ya CRDB, Ally Hussein Laay.

Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Ali Mohanmed
Shein akifunua kitambaa kuashiria ufunguzi rasmi wa Tawi jipya la Benki
ya CRDB lililopo katika Mji wa Chake chake, kisiwani Pemba, Julai 29,
2017.

Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Ali Mohanmed
Shein (katikati) akikata utepe kuashiria ufunguzi rasmi wa Tawi jipya la
Benki ya CRDB lililopo katika Mji wa Chake chake, kisiwani Pemba, Julai
29, 2017. Wengine pichani kutoka kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Kusini
Pemba, Mwanajuma Majid Abdalla, Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa
Benki ya CRDB, Ally Hussein Laay, Waziri wa Ardhi, Maji, Nishati na
Mazingira ambaye pia ni Kaimu Waziri wa Fedha na Mipando wa Zanzibar,
Salama Aboud Talib na kulia ni Mkugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dkt.
Charles Kimei.






















Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Ali Mohanmed
Shein (katikati) akihutubia katika hafya ya ufunguzi rasmi wa Tawi jipya
la Benki ya CRDB lililopo katika Mji wa Chake chake, kisiwani Pemba,
Julai 29, 2017. Kulia ni Waziri wa Ardhi, Maji, Nishati na Mazingira
ambaye pia ni Kaimu Waziri wa Fedha na Mipando wa Zanzibar, Salama Aboud
Talib, Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Benki ya CRDB, Ally Hussein
Laay (wa pili kushoto) pamoja na Mkugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB,
Dkt. Charles Kimei.















0 MAONI YAKO:
Post a Comment