July 30, 2017

Image result for ALfred Lucas wa TFF 
Kufuatia taarifa kwamba wenda klabu ya yanga ikapewa adhabu kwa kuvunja kanuni za usajili kutokana na kumsajili Golikipa wa Serengeti Boys Ramadhan Kbwili mkataba wa miaka mitano ikiwa ana umri chini ya miaka18,Msemaji waTFF Alfred Lucas amesema ingawa bado hajauona mkataba huo lakini lakini haoni kama ni dhambi kwa kabwili kupewa mkataba wa miaka mitano kwa sababu kanuni hazijajifunga.


Image may contain: 1 person, text

Alfred amesema Yanga wanaweza kumsajili mchezaji huyo kama mchezaji wa timu ya vijana   (Under 20) na baadae wanaweza kumpandisha kwenye timu kubwa.

Zaidi sikiliza alichosema  Alfred hapa chini

                     

Related Posts:

  • Nisha afunguka uhusiano wake na Nay ndani ya Papaso    Msanii wa Filamu nchini, Salma Jabu maarufu Nisha, ameongea mambo mengi kuhusiana na sanaa yake, wasanii  na mahusinao yake ya kimapenzi na msanii Nay wa Mitego. Akizungumza na D'Jaro Alungu ndani ya Pap… Read More
  • Msiba:Kapten John Komba amefariki dunia    Mbunge wa Mbinga  Mh: john Komba, amefariki Dunia jioni hii. Taarifa za kifo cheke zimetolewa katika A/C ya Twitter ya CCM na kusambaa katika vyombo mbalimbali .    Kepteni Komba enzi za uha… Read More
  • Chenge, Ngeleja, Tibaijuka OutKamati Kuu ya Chama cha Mapinduzi kimewasimamisha ujumbe wa Halmshauri Kuu ya chama hicho NEC wanachama wake watatu ambao ni wajumbe wa NEC kufuatia na kuhusika kwao katika sakata la akaunti ya Tegeta Escrow. Wajumbe hao ni m… Read More
  • Pole Chris Brown mwenzako nilichekwa-Ommy Dimpoz    Msanii Omary Nyembo alimaarufu kama Ommy Dimpoz amefunguka na kusema kuwa watu wa uhamiaji duniani kote huwa hawatambui umaarufu wa mtu pindi wanapogundua kuna kitu hakijaenda sawa,Ommy Dimpoz amefunguka hay… Read More
  • Diamond atajwa kuwania tuzo nyinge kubwa Africa Diamond Platnumz ametajwa kuwania tuzo za 16 za Vodafone Ghana Music (Awards), VGMA 2015. Majina ya wasanii watakaowania tuzo hizo yametajwa kwenye hoteli ya La Palm Royal Beach Hotel jijini Accra, jana Ijumaa, Februar… Read More

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE