January 15, 2018

Uchebe: Hii ni Stata Bado Sherehe ya Tatu..... Hakuna Mwenye Mwanamke Mzuri Kuliko Mimi

Baada ya kufunga ndoa Uchebe kupitia ukrasa wake wa instagram ameandika mambo mbalimbali  ikiwa kutupa vijembe na  kumsifia mke wake Shilole ambaye kwa sasa ni mama kijacho kwamba hakuna mwenye mwanamke mzuri kama yeye.
Uchebe ambaye amelichukua jana ilikuwa sherehe ya ndoa yake amesema shere ya jana ni stata sherehe ingine kubwa inatarajia kufanyika na kutupa vijembe kwa wale wanaomsema kuhusu penzi lake na mkewe.


Haya ni baadhi ya maneno na  vijembe alivyoandika uchebe mitandaoni;

1. mke wangu peke yangu bado sherehe ya tatu ngoja mke wangu akapige shoo ulaya tutafanya party funga kazi hii ni stata
 

2.sina kinyaa na mke wangu nina mnyonya ata kama katoka kupiga show na majasho
 

3.Wenye wake wotw mikono juu Ilove u zuu watu vichwa vinawauma!..Oooh umalizi mwaka nawacheka kwa zarau
 

4.Uchebe usijimalize acha na ya kesho! hahaa najimaliza ili niwape la kusema nyie si mnajua kuchonga
 

5.Hakuna mwenye mwanamke mzuri kama mimi

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE