Chama cha ACT Wazalendo makao makuu , kesho kitafanya mkutano na waandishi wa Hbari saa tano Asubuhi.
KESHO Alhamis,April 19/2018,Saa tano Kamili,asubuhi viongozi Wa Chama Cha ACT Wzalendo, watazungumza na waandishi Wa habari. Mahali:Makao Makuu ya Chama yaliyopo Sayansi Kijitonyama jirani na Kanisa la KKKT Muhimu kuzingatia Muda Abdallah Khamis 18/04/2018
0 MAONI YAKO:
Post a Comment