April 18, 2018

Image may contain: 1 person
 Mbunge wa Kigoma mjini na kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo Ndg. Zitto Zuberi Kabwe Ruyagwa, ameandika katika ukurasa wake wa Facebook kwamba yupo tayari kukamatwa  ama kuuawa kwa kusema juu ya upotevu wa Fedha zinazokadiliwa ni shilingi Trilioni 1.5 mali ya watanzania. Zitto anaandika hivi,

"Kuna mtu anasema nikamatwe kwa kupotosha Kuhusu TZS 1.5trn zinazohojiwa na CAG.
Mimi Kabwe Zuberi Ruyagwa Zitto, Mwenyeji wa Kigoma, Muislam, NAAPA kwamba Serikali ya CCM ya Awamu ya Tano imeshindwa kuonyesha kwa CAG matumizi ya shilingi trilioni MOJA na Bilioni MIA TANO.
Nipo tayari kukamatwa kwa kusema hivyo ( haitafuta ukweli wa ubadhirifu huo ). Nipo tayari kuuwawa kwa kusema hivyo ( mawazo yangu hayatakufa).
Eeh Mwenyezi Mungu nisaidie"

Related Posts:

  • Magazetini leo 23/august/2015 Jumapili August 23 2015 nachukua time hii kukuunganisha tena na stori kwenye Magazeti ya Tanzania, stori kubwa kwenye Hardnews, Dini na Michezo unaweza kuzipitia hapa kwenye kurasa za mbele na za nyuma kama tulivyotoa … Read More
  • Uzinduzi wa Kampeni za CCM Dar ni shiddahhh!!!!! Umati wa wanachama wa CCM wakiwa katika mkutano huo.   Screen kubwa iliyofungwa jukwaani kwa ajili ya kutoa matukio live kwa walio mbali. Ben… Read More
  • Mgombea Ubunge CHADEMA) arejea rasmi CCM   Mgombea ubunge wa Sikonge kupitia CHADEMA amerejea CCM leo ktk viwanja vya Jangwani DSM. Kumbuka Nkumba alijiunga na CHADEMA baada ya kushindwa kwenye kura za maoni CCM. Alipewa kuipeperusha bendera ya CHADEMA kwe… Read More
  • Audio: Sumaye akijitoa CCM na kujiunga na UKAWA   August 22 Itabaki katika Historia ya  Tanzania kufuatia waziri mkuu mstaafu wa Awamu ya tatu   Frederick Turuwai Sumaye kujiengua katika chama tawala cha Tanzania CCM na kujiunga na Umoja Wa Katiba … Read More
  • Diamond, Ali Kiba ndani ya jukwaa moja Wasanii Nasibu Abdul ‘Diamond’ na Ali Saleh Kiba ‘Aki Kiba’ kesho Jumapili wanatarajiwa kutumbuiza katika uzinduzi wa kampeni za mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli. Diamond na Ali Ki… Read More

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE