Mahasimu wawili katika uwanja wa muziki wa Bongo Fleva Ally Kiba na Diamond Platnumz, wamekutana katika Viwanja vya Leaders Club katika shughuli za kuuaga mwili wa msanii mwenzao Agnes Masogange. Katika picha iliyonaswa na Camera ya Millardayo imeonesha msanii Diamond akimpa mkono Kiba. katika hatua nyingine, mwanamuziki Ally Kiba amenena mambo mazito juu ya tukio la msiba uliowakuta Tazama hapa chini
ACT: Waongoza watalii wapate maslahi yao inavyostahili
-
CHAMA cha ACT-Wazalendo kimeitaka serikali kuhakikisha inasimamia maslahi
stahiki ya waongoza watalii nchini. Anaripoti Faki Sosi, Kilimanjaro …
(endelea)....
2 hours ago
0 MAONI YAKO:
Post a Comment