
Wasanii na wananchi mbalimbali waliojitokeza katika viwanja vya Leaders
Club Kinondoni kwa ajili ya kuuaga Mwili wa Agnes Gerald maarufu
Masogange aliyefariki Siku ya Ijumaa katika Hospitali ya Mama Ngoma Dar
Es Salaam . Mwili WA marehemu utasafirishwa baadae leo kuelekea Mbeya
kwa ajili ya mazishi. Tutakukumbuka Agnes, pumzika kwa Amani









0 MAONI YAKO:
Post a Comment