Assalaaam araykum. Ndugu zangu waislam, leo ikiwa tupo katika siku ya tatu ya mwezi wa Ramadhani. Ebu tukumbushane baadhi ya mambo yenye faida hasa katika mwezi huu mtukufu wa Ramadhani. Tunakutana na shekh Nurdin Kishki akitueleza faida 30 za funga ya mwezi wa Ramadhani.
MAONESHO YA TEKNOLOJIA ZA KISASA KWENYE KILIMO KUANZA KESHO DODOMA
-
Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo, Mhe. Gerald Geofrey Mweli leo April 29, 2024
Jijini Dodoma ametembelea na kukagua maandalizi ya maonesho ya kilimo
yatakay...
24 minutes ago
0 MAONI YAKO:
Post a Comment