
Modest alikuwa akimwambia maneno hayo Manyika huku akimuonyesha kijana aliyekuwa na miaka 18 wakati huo- golikipa Juma Kaseja.
Stars ilikuwa ikienda Mwanza kucheza mchezo wa fainali wa michuano ya Castle Cup vs Kenya- Harambee Stars baada ya kuwashinda DR Congo katika nusu fainali pale Sheikh Amri Abeid Stadium, Arusha.
Katika vikosi bora vya Stars katika karne hii-kile kilichoshinda ubingwa wa Castle mwaka 2001 ni bora kuliko vyote.
Manyika- golini
Mecky Mexime- beki ya kuume
Modest - beki ya kushoto
Boniphace Pawasa- beki ya Kati
John Mwansasu- beki ya kati
Waziri Mahadhi/Suleimani Matola- namba sita
Said Maulid ‘SMG‘- namba saba
Salvatory Edward- namba nane
Ntenze John- mshambulizi wa Kati
Joseph Kaniki...
Modest ni mshindi - mtu aliyesaidia mpira wa Tanzania na kutupa kikombe. Kwa sasa anapitia ‘ibada‘ na ni muda mrefu sana anaumwa-yupo Turiani, Morogoro.
Ni vyema-wachezaji, TFF, Serikali kumsaidia wakati huu.
PoleSanaModest
Manyika- golini
Mecky Mexime- beki ya kuume
Modest - beki ya kushoto
Boniphace Pawasa- beki ya Kati
John Mwansasu- beki ya kati
Waziri Mahadhi/Suleimani Matola- namba sita
Said Maulid ‘SMG‘- namba saba
Salvatory Edward- namba nane
Ntenze John- mshambulizi wa Kati
Joseph Kaniki...
Modest ni mshindi - mtu aliyesaidia mpira wa Tanzania na kutupa kikombe. Kwa sasa anapitia ‘ibada‘ na ni muda mrefu sana anaumwa-yupo Turiani, Morogoro.
Ni vyema-wachezaji, TFF, Serikali kumsaidia wakati huu.
PoleSanaModest
0 MAONI YAKO:
Post a Comment