
Taarifa hiyo imeeleza kiundani zaidi, ikitoa sababu hizo kuwa Mbunge huyo ameachiwa huru kutokana na msamaha alioutoa Rais John Magufuli kwa baadhi ya wafungwa April 26 ya mwaka huu katika kuadhimisha miaka 54 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar.
Soma taarifa hiyo hapa chini.


0 MAONI YAKO:
Post a Comment