Kwa mara ingine tena Mwanamuziki toka mkoani Morogoro anaitwa Agatha Mbale, anadondosha ngoma yake mpya inaitwa Siyo kama wao. Agatha ameshusha hii baada ya ngoma zake za Shujaa na Mawenge kufanya poa . Tazama hapa chini kisha acha Comment yako
NMB Pesa Akaunti yawavutia wakaguzi wa ndani Afrika
-
Ubunifu wa bidhaa bora wa Benki ya NMB pamoja na uwekezaji wenye tija
inaoufanya kuwahudumia wateja kwa ufanisi vimekuwa kivutio kikubwa kwenye
mkutano wa ...
0 MAONI YAKO:
Post a Comment