Mabinti mapacha walioungana, Maria na Consolata Mwakikuti,
wamefariki dunia katika hospitali ya mkoa wa Iringa walikokuwa
wakitibiwa. Mkuu wa Wilaya ya Iringa, Richard Kasesela ameandika kupitia
mtandao wake wa Twitter. Kwa wakati fulani mapacha hao walitibiwa
katika Hospitali ya Taifa Muhimbili kabla ya kurejeshwa Iringa ambako
hali yao haikuimarika na mauti kuwakuta. Mabinti hao waliokuwa wakisoma
chuo cha Ruaha Catholic University mjini Iringa wamefariki majira ya saa
moja usiku wa Jumamosi.
RC Chongolo atangaza ‘vita’ kwa wanaovusha wageni kinyemela
-
KATIKA kulinda usalama wa nchi kupitia mpaka wa Songwe, Mkuu wa mkoa huo,
Daniel Chongolo ametangaza ‘vita’ kwa wananchi watakaojihusisha na shughuli
za uv...
2 hours ago
0 MAONI YAKO:
Post a Comment