Assalam alaykum. Tunakuletea live mashindano ya 19 ya kusoma Qur-an barani Africa. Mashindano haya yaliyoandaliwa na Al=Hikima Foundition,yanafanyika katika uwanja wa Taifa Jijini Dar Es Salaam na mgeni Rasmi ni Waziri mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania MH: Majaliwa Kassim Majaliwa.
MBUNGE WA KISHAPU MHE. BONIPHACE BUTONDO AZINDUA SHAGY CUP
-
Na Sumai Salum - Kishapu
Mbunge wa Jimbo la Kishapu Mkoani Shinyanga Mhe. Boniphace Butondo leo Mei
4,2024 amezindua ligi ya Shagy Cup katika viwanja vya ...
3 hours ago
0 MAONI YAKO:
Post a Comment