Waislamu duniani kote leo hii wameswali swala ya Eid ul-Fitr 2018. Mkoani Morogoro licha ya misikiti Mingio kuendesha Ibada hiyo. lakini sisi tunakuletea Ibada iliyoswaliwa kati viwanja vya The Islamic Foundition jirani na Hilux Hotel Morogoro. Katika swala hiyo, hatib alikuwa ni Immam wa mskiti mkuu wa Haqq Shekh Twaa Ibrahim Twaa. Katika hutba yake Imman Twaa amewaasa waislam kupendana , na kujitahidi kuitunza amani ya nchi yetu na pia kupendezwa na Waislam wote kuswali swala hii kwa pamoja.
TAKUKURU YAFANIKISHA MAREJESHO YA SH.MILIONI 439.2 KUTOKA KWA WANUFAIKA WA
MIKOPO ASILIMIA 10 JIJI LA TANGA
-
Kamanda wa Takukuru Mkoa wa Tanga Victor Swella akizungumza na waandshi wa
habari ambao hawapo pichani wakati akitoa taarifa ya utendaji kazi kwa
kipindi...
3 hours ago
0 MAONI YAKO:
Post a Comment