August 28, 2018

 
Hospitali ya rufaa Bugando mkoani Mwanza imepata pigo kubwa sana baada ya kuondokewa na Mkurugenzi wa fedha na mipango katika hospitali hiyo baada ya kudaiwa kujirusha kutoka juu ya ghorofa.Inadaiwa mkurugenzi huyo alijirusha kutoka juu ya ghorofa hadi kufariki dunia,mkurugenzi huyo kwa jina anajulikana kama Mtwana Suzan Bathlomeo.Mtwana alichukua maamuzi hayo ya kujiua kwa kujirusha kutoka juu ghorofani baada ya kutoka Kanisani kusali misa ya saa 12:00 asubuhi ya leo siku ya jumanne.

Related Posts:

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE