August 28, 2018

 
Hospitali ya rufaa Bugando mkoani Mwanza imepata pigo kubwa sana baada ya kuondokewa na Mkurugenzi wa fedha na mipango katika hospitali hiyo baada ya kudaiwa kujirusha kutoka juu ya ghorofa.Inadaiwa mkurugenzi huyo alijirusha kutoka juu ya ghorofa hadi kufariki dunia,mkurugenzi huyo kwa jina anajulikana kama Mtwana Suzan Bathlomeo.Mtwana alichukua maamuzi hayo ya kujiua kwa kujirusha kutoka juu ghorofani baada ya kutoka Kanisani kusali misa ya saa 12:00 asubuhi ya leo siku ya jumanne.

Related Posts:

  • SWALA YA IDDI KITAIFA KUSWALIWA DAR    Shekhe Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhad Mussa Salum akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake. Shekhe Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhad Mussa Salum ametangaza Swala ya Sikukuu ya Idd El Fitri in… Read More
  • FROFILE WIKI HII/ YUPO DAVIDO Davido (amezaliwa David Adeleke) ni maonyesho na kurekodi msanii na Pia mtayarishaji muziki. Davido alizaliwa katika Atlanta GA, USA juu ya Novemba 21 na Mheshimiwa Na Bi Adeleke na walihudhuria Uingereza International Sch… Read More
  • BRAND NEW SONG/ NIPE NAFASI - IMMA POISON ft STAMINA KABWELA (produced by vennt Skillz) Ukilinganisha umri wake na kile anachokiandika, ni vitu viwili tofauti. Uwezo mkubwa ma mashairi unaowashangaza wengi sana waliopata bahati ya kuuskia wimbo wake wa Nipe nafasi. Anaitwa Immanuel au Imma poison ndiyo jina … Read More
  • TAARIFA KUHUSU AJALI YA BAHATI BUKUKU   Muimbaji maarufu nchini wa nyimbo za injili nchini,Bahati Bukuku (40) amepata ajali akiwa katika gari alilokuwa akisafiria kuacha njia na kugonga gema, baada ya kugongwa na gari lingine linalosemekana kuwa … Read More
  • MOROGORO KUZIZIMA SIKU YA EIDD PILI Ni ndani ya Mji wa Morogoro utakapozizima kwa masaa kufuatia bonanza kubwa la Bongo fleva litakalofanyika siku ya Eid Pili ndani ya ukumbi wa mabo Club, Dj steve B, Zombi Prezdaa, Kareem Omari KO watahusika huku burudani … Read More

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE