Walikuwepo akina Joseph Goebbels, Josef Mengele (angel of death)
,Hermann Goring walioamini katika kuua ili kumlinda Mungu wao Adolf
Hitler lakini waliishia kusikojulikana. Sitishwi, sitatishika na kikubwa
zaidi sikuzaliwa na chembe ya uoga mwilini mwangu.
Am ready for anything
Birthday ya mwaka mmoja ya Tiffah kufanyika Mlimani City
Ana followers 623,049 Instagram, ni mtoto wa Diamond na Zari the
Bosslady, unahitaji nini zaidi kukubali kuwa Tiffah ni supastaa mtoto
kuliko wote Afrika?
Tayari mtoto huyo ana miezi 10 na hiyo ikimaanisha kuwa birt…Read More
Kuna msanii mkubwa hakupenda mimi kujiunga na WCB – Rich Mavoko
Msanii mpya kutoka lebo ya WCB, Rich Mavoko amesema kuna msanii mkubwa bongo alimkataza kujiunga na WCB.
Akiongea kwenye kipindi cha Planet Bongo, kinachoruka kupitia EA
Radio, Rich Mavoko amesema kuna msanii mkubwa a…Read More
Video: Idd Aziz – Kiswahil
Unafahamu Kiswahili? Mwanamuziki mwenye vipaji vingi, Idd Aziz kutoka nchini Kenya ameachia ngoma yake mpya iitwayo ‘Kiswahili.’ Ukihusu lugha adhimu ya Kiswahili, wimbo huu maridhawa umedhamiriwa kuw…Read More
0 MAONI YAKO:
Post a Comment