February 15, 2019

Image result for ya levis dis lui
Yule mkali wa muziki aliyezaliwa Congo na kufanya maisha yake nchini Ufaransa Ya Levi, baada ya kutamba na ngoma zake kama Katchua, Libaba, Elle ne veut pas, sasa ameachia wimbo wake mpya kabisa unaitwa Dis Lui. Video yake tumekuwekea hapa chini. Ahsante na endelea kutembelea Blog yetu.
               

Related Posts:

  • Watoto wa Hosni Mubarak kuachiliwa   Mahakama nchini Misri imeamrisha kuachiliwa kwa watoto wa kiume wa rais wa zamani Hosni mubarak wakati wanaposubiri kesi yao pamoja na baba yao inayohusu ufisadi. Wakili wa Alaa na Gamal Mubarak anasema kwa anatar… Read More
  • UN: Ugaidi hauna mfungamano na dini maalumu    Msemaji wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ameeleza kuwa, ugaidi haufungamani na dini au madhehebu fulani na kusisitiza kwamba viongozi wote wa dini ulimwenguni wanalaani na wanapinga kwa nguvu zao zote vit… Read More
  • UKAWA yatangaza kususia Kura ya Maoni   Vyama vya Siasa vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi nchini Tanzania (UKAWA) leo vimetangaza rasmi kuwa vitasusia kushiriki kura ya maoni, kwa ajili ya kupitisha Katiba mpya April 30, 2015 Vyama vya Sias… Read More
  • New Audio- Mperampera - Mash J ft Stamina Baada ya kufanya poa sana na wimbo wake wa Rimex ya John iliyoimbwa na yemmy Alade wa Nigeria na yeye kuipa jina la Penny, mwanamuziki toka mkoani Morogoro Mash J, safari hii imekuja tena na wimbo wake mpera mpera alio… Read More
  • Rais Kikwete kulifanyia marekebisho Baraza la Mawziri    Mawaziri wote wa baraza la mawaziri nchini Tanzania wamezuiwa kusafiri kikazi nje ya Jiji la Dar es Salaam kutokana na kile kinachoelezwa ni maandalizi ya kukabidhi ofisi kwa mawaziri wapya ambao wanatarajiw… Read More

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE