March 14, 2019

Image result for joshua nassari 

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai amemuandikia barua Mwenyekiti wa NEC, Jaji Semistocles Kaijage kumtaarifu kuwa jimbo la Arumeru Mashariki linaloongozwa na Mbunge Joshua Nassari (CHADEMA) liko wazi, kutokana na mbunge huyo kupoteza sifa ya kuwa Mbunge kwa kutokuhudhuria vikao vya mikutano 3 ya bunge mfululizo.
Soma zaidi taarifa iliyotolewa leo na Spika Ndugai.


0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE