Ifuatayo ni dira ya Dunia ya BBC inayokutangazia toka jijini London uingereza. Taarifa ya habari usiku wa leo 19 june 2019. Msomaji wako ni Zuhra Yunus
Ommy Dimpoz Na Kampuni Yake Ya PKP, Fuatilia Zaidi Hapa
Baada ya kumaliza ziara yake nchini Marekani, Msanii Ommy Dimpoz amekuwa
busy kutangaza brand yake ya PKP Kupitia mahojiano tofauti anayo pata.
Hizi picha chache kutoka Instagram ya Dimpoz. PKP Itakuwa kampuni yenye
bid…Read More
MSHAHARA WA RAIS KAA LA MOTO..SEREKALI YASEMA
Dar es Salaam. Siku chache baada ya
Mwenyekiti wa Kamati ya Hesabu za Serikali (PAC), Zitto Kabwe kutaja
hadharani mishahara ya Rais Kikwete na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda,
serikali imekataa kuizungumzia mishahara hiyo.
…Read More
UFOO SARO AZUNGUMZA, ASEMA UMMA UTAJUA KILICHOTOKEA
Mtangazaji wa Kituo cha televisheni
cha ITV, Ufoo Saro, ambaye alijeruhiwa kwa kupigwa risasi na mzazi
mwenzake Jumapili iliyopita, ameahidi kutoa ya moyoni atakapopona na
kuruhusiwa kutoka hospitalini.
Ufoo ambaye am…Read More
MDUDU WA SOLO THANG OCTOBER 25
October 25,mkali wa lyrics na vina,Solo thang anatarajia kuachia historia nyingine
this time inaonekana akiwa na Mr Blue. Single inaitwa "Mdudu" kaa mkao mzuuri wa kuisikiliza. Definately is gonna be the bomb
…Read More
TUKIO LA UFOO SARO LILIKUWA HIVI
Ufoo ambaye mara kadhaa katika
mazungumzo na gazeti hili alionekana kukunja uso akiashiria kupata
maumivu, alionyesha eneo la chini ya bega katika mkono wake wa kulia
lililofungwa na bandeji ambalo alisema ndipo alipo…Read More
0 MAONI YAKO:
Post a Comment