Klabu ya YANGA imefuzu hatua ya pili
ya Klabu Bingwa Afrika baada ya ushindi wa bao 1-0 ugenini dhidi ya
Towship Rollers ya Botswana.
Bao la Yanga SC limefungwa na Juma Balinya katika 42 na kuifanya Yanga ifuzu kwa Agg 2-1 baada ya mchezo wa awali uliopigwa katika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam kumalizika kwa sare ya 1-1 wiki mbili zilizopita.
Bao la Yanga SC limefungwa na Juma Balinya katika 42 na kuifanya Yanga ifuzu kwa Agg 2-1 baada ya mchezo wa awali uliopigwa katika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam kumalizika kwa sare ya 1-1 wiki mbili zilizopita.
0 MAONI YAKO:
Post a Comment