Kufuatia tukio la ajali ya Moto uliosababishwa na Roli la Mafuta na kusababisha vifo vya zaidi ya watu 75 mkoani Morogoro, tukio lililotokea 10 August 2019 siku ya Jumamosi katika eneo la Msamvu, wasanii wa Hood Bangerz wameamua kuomboleza msiba huwo kwa kufanya wimbo wa pamoja unaoitwa Never Forget Moro
August 13, 2019
12:56 PM
Machaku
No comments
Related Posts:
UZINDUZI WA SERENGETI FIESTA 2014 MWANZA NI SHEEEDDDAAAHHH!!! DOGO ASLAY BARAKADA PRINCE ADAM MCHOMVU NA DJ FETTY DJ FETTY MAKOMANDO MO MUSIC BAYSER BABY MR BLUE MWANZA NI NOMAA &… Read More
KENNY KENNIE KUJA NA MSECHU. Kenny akiwa studio Baada ya ngoma yake ya kwanza ya One and Only kumtambulisha vizuri sana katika anga ya muziki, mkali wa R $ B toka mkoani Morogoro Kenny Kennie safari hii ameamua kukaza uzi na kumtafuta&nb… Read More
NDEGE NYINGINE YAANGUKA NA KUUA 40 Ndege ilioanguka nchini Iran Ndege moja iliokuwa na abiria 40 imeanguka mjini Tehran nchini Iran. … Read More
TETESI ZA SOKA ULAYA, HII NI KWA HISANI YA SALIM KIKEKE WA BBC Manchester United wametoa dau la pauni milioni 55 kumtaka kiungo wa Real Madrid Angel Di Maria, 26 (Daily Express), United pia watatazama kumchukua kiungo wa zamani wa Arsenal Alex Song, 26, kutoka Barcelon… Read More
PICHA ZINGINE ZA UZINDUZI WA TAMASHA LA SERENGETI FIESTA 2014 MWANZA HIZI HAPA NI SHEEEDAAAHHH … Read More
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 MAONI YAKO:
Post a Comment