Kufuatia tukio la ajali ya Moto uliosababishwa na Roli la Mafuta na kusababisha vifo vya zaidi ya watu 75 mkoani Morogoro, tukio lililotokea 10 August 2019 siku ya Jumamosi katika eneo la Msamvu, wasanii wa Hood Bangerz wameamua kuomboleza msiba huwo kwa kufanya wimbo wa pamoja unaoitwa Never Forget Moro
WANANCHI WA UKONGA WAMSHUKURU RAIS SAMIA KWA KUDUMISHA AMANI NA USALAMA
-
Na Mwandishi wetu, Dar
Wananchi wa Ukonga Mkoani Dar Es Salaam wametoa pongezi na Shukrani kwa
Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea ...
1 hour ago






0 MAONI YAKO:
Post a Comment