Mwanamuziki na Mtangazaji Maarufu kutoka mkoani Morogoro MC Calvin Maarufu Zombie President, ameachia wimbo wake mpya kabisa uitwao R I P Ngwair. Wimbo wa R I P Ngwair ni wimbo unaoonesha mapenzi ya wazi kabisa kutoka kwa msanii huyo kumuhusu Mangwea ambaye amefariki takriban mika 6 sasa imepita. Hakika pengo la Ngwair halitazibika. R I P Ngwair
MBUNGE WA KISHAPU MHE. BONIPHACE BUTONDO AZINDUA SHAGY CUP
-
Na Sumai Salum - Kishapu
Mbunge wa Jimbo la Kishapu Mkoani Shinyanga Mhe. Boniphace Butondo leo Mei
4,2024 amezindua ligi ya Shagy Cup katika viwanja vya ...
11 hours ago
0 MAONI YAKO:
Post a Comment