Mwanamuziki na Mtangazaji Maarufu kutoka mkoani Morogoro MC Calvin Maarufu Zombie President, ameachia wimbo wake mpya kabisa uitwao R I P Ngwair. Wimbo wa R I P Ngwair ni wimbo unaoonesha mapenzi ya wazi kabisa kutoka kwa msanii huyo kumuhusu Mangwea ambaye amefariki takriban mika 6 sasa imepita. Hakika pengo la Ngwair halitazibika. R I P Ngwair
WANANCHI WA UKONGA WAMSHUKURU RAIS SAMIA KWA KUDUMISHA AMANI NA USALAMA
-
Na Mwandishi wetu, Dar
Wananchi wa Ukonga Mkoani Dar Es Salaam wametoa pongezi na Shukrani kwa
Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea ...
2 hours ago






0 MAONI YAKO:
Post a Comment