Baada ya Bondia Twaha Kiduku wa Morogoro kutangaza hadharani akitaka mpambano na Bondia kutoka Dar Es Salaam Dulla Mbabe, sasa ni rasmi. Promota Ally Mwanzoa wa Tanga, ametaka mabondia hao kukutana naye na kuandaa pambano kati yao. Promota Mwanzoa amewapa Uhuru mabondia hao kuipanga tarehe na mwezi watakaotaka kupigana ila waende mezani wakaini mikataba ya pambano hilo.
JKT YAADHIMISHA MIAKA 61 YA JWTZ KWA KUCHANGIA DAMU SALAMA KWA
JAMII,KUPANDA MITI NA KUFANYA USAFI
-
MKUU wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), Meja Jenerali Rajabu
Mabele,akiwaongoza Maafisa ,Askari na Vijana kupanda miti katika maeneo
yanayozunguka Makao M...
5 hours ago
0 MAONI YAKO:
Post a Comment