Baada ya Bondia Twaha Kiduku wa Morogoro kutangaza hadharani akitaka mpambano na Bondia kutoka Dar Es Salaam Dulla Mbabe, sasa ni rasmi. Promota Ally Mwanzoa wa Tanga, ametaka mabondia hao kukutana naye na kuandaa pambano kati yao. Promota Mwanzoa amewapa Uhuru mabondia hao kuipanga tarehe na mwezi watakaotaka kupigana ila waende mezani wakaini mikataba ya pambano hilo.
MBUNGE WA KISHAPU MHE. BONIPHACE BUTONDO AZINDUA SHAGY CUP
-
Na Sumai Salum - Kishapu
Mbunge wa Jimbo la Kishapu Mkoani Shinyanga Mhe. Boniphace Butondo leo Mei
4,2024 amezindua ligi ya Shagy Cup katika viwanja vya ...
3 hours ago
0 MAONI YAKO:
Post a Comment