Mbunge wa Jimbo la Morogoro Mjini Mhe, Dkt. Abdulaziz M. Abood ameutaka uongozi wa Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro kugawa vizimba katika Soko la Machinga Complex lililopo maeneo ya FIRE kwa watu na wafanyabiashara waliokusudiwa na ambao wanahitaji vizimba hivyo ili kukuza na kuboresha mitaji ya wafanyabiashara wadogo.Mhe Abood ametoa kauli hiyo katika...
April 28, 2024
August 07, 2022
1:39 AM
Machaku
No comments

Kwenye Refresh ya Wasafi Tv, Dee
amekazia kuwa siku zote wanawake wanajua Marioo anataka nini, hivyo
mpenzi wake Janjaro amejua Jamaa anapenda viatu,nguo mpya na kusafiri na
ndicho anacho kifanya hadi Dogo Janja kasahau kitu kinaitwa muziki.😁
...
1:29 AM
Machaku
No comments

Sekretarieti
ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) imewafungulia mashtaka
ya kimaadili Rais wa Yanga, Mhandisi Hersi Said na aliyekuwa Ofisa wa
Klabu hiyo Haji Manara “Kamati ya Maadili ilimfungia miaka miwili Manara
kujihusisha na shughuli yoyote ya mpira wa miguu lakini ameshindwa
kutekeleza adhabu hiyo”Kamati
imesema Hersi amefunguliwa mashtaka kwa...
1:18 AM
Machaku
No comments
KUMBUSHO LA HARAKA!
Mwaka jana mlipoteza mechi siku ya mwananchi, lakini mliendelea kushinda michezo yote mbele na kutwaa vikombe vyote nchini. Ilinisikitisha sana kiasi kwamba wakati mwingine nikienda kwenye kidimbwi na kuomba kikombe kwa ajili ya kinywaji chan...
1:03 AM
Machaku
No comments

Karibu mpenzi wa Machaku Media katika kurasa za Magaazetini leo hii. Leo ni siku ya jumapili 07 August 2022. Tumekukusanyia baadhio ya kurasa za Magazetini zilizotufikia katika Meza yetu hapa STUDIO. Kwa taarifa za kina katika kurasa za Magzetini, fika katika Meza iliyo karibu nawe ujipatie nakala yako sasa.
&nb...
12:31 AM
Machaku
No comments

Naibu
Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Mary Masanja (Mb) akimkabidhi cheti
cha pongezi Mkurugenzi Msaidizi wa Kuzuia Ujangili, Wizara ya Maliasili
na Utalii, Bw.Robert Mande (kulia) kwa kushiriki katika utoaji mafunzo
ya kukabiliana na ujangili na usafirishaji haramu wa mazao ya
wanyamapori na mimea ndani na nje ya Bara la Afrika uliofanyika leo
jijini Dar...
June 21, 2021
January 29, 2020
January 16, 2020
12:46 PM
Machaku
No comments

Mbunge wa Jimbo la Morogoro Mjini Mhe. Abdulaziz Abood (CCM) akiangalia namna mashine ya X-ray ya kisasa inavyofanya kazi katika hospitali ya rufaa ya mkoa wa Morogoro.
Kufuatia kilio cha muda mrefu cha wakazi wa mkoa wa Morogoro juu ya kukosekana kwa mashine ya X-ray ya kisasa katika hospitali ya rufaa ya mkoa huo hali iliyokuwa ikiwalazimu kupewa...
December 01, 2019
3:11 AM
Machaku
No comments
Baada ya Bondia Twaha Kiduku wa Morogoro kutangaza hadharani akitaka mpambano na Bondia kutoka Dar Es Salaam Dulla Mbabe, sasa ni rasmi. Promota Ally Mwanzoa wa Tanga, ametaka mabondia hao kukutana naye na kuandaa pambano kati yao. Promota Mwanzoa amewapa Uhuru mabondia hao kuipanga tarehe na mwezi watakaotaka kupigana ila waende mezani wakaini mikataba ya pambano...
Bondia Twaha Kiduku alipokewa kishujaa Mkoani Morogor, kufuatia mapokezi aliyoandaliwa wakati akireje mkaoni hapa baada ya kumtwangwa vilivyo bondia kutoka Afrika Kusini France Thabang Ramabolu katika pambano la utangulizi la mchuano uliowakutanisha Hassan Mwakinyo kutoka Tanzania na Arnel Tinampay kutokea Philipino mpambano ambao ulimalizka kwa Hassan Mwakinyo...
November 24, 2019
6:25 AM
Machaku
No comments

Ni wimbo wa kwanza wa Birthday kwa upande wa muziki wa Singeli. Wimbo huu umetolewa maalum kabisa kwa mtangazaji mahili mkoani Morogoro toka Planet Fm Bibie Warda Makongwa, aliyeadhimisha kumbukumbu yake ya kuzaliwa Siku ya jana katika ukumbi wa BZ Hotel. pia wimbo huu sasa ni rasmi kwa ajili ya Birhday Yako ama mshkaji wako.
Listen to Mc Hamza COUNKY_HAPPY BARTH...
6:19 AM
Machaku
No comments

DOWLOAD HAPA
Listen to Dj Seven Feat Mzee Wa Bwax - Biriani I Machaku Media byAhmadi Machaku on hearthis.a...
3:59 AM
Machaku
No comments

Official Video ya mwanamuziki mkali wa Free Style kutokea mkoani Morogoro Rajram
(RAJRHYMES ) imekamilika na nipo hewani nkwa ajili yako shabiki na mdau wake .
DOWNLOAD HAP...
Subscribe to:
Posts (Atom)