Ni Baada ya zile story zilizovuma na hatimae Byser mwenyewe kukubali kua anategemea kupata mtoto na mpenzi wake wa zamani sanaaa ambae anajulikana kama Wahda Mohamed....Sasa Nyota njema imeshaanza kuonekana ambapo mwanadada huyo tayari ameshaanza kuvaa nguo kubwaaaaaa kama unavyoona katika picha...Inavyosemekana muda si mrefu Blu a.k.a Byser ataanza kuitwa baba
HESLB yafungua dorisha la maombi ya mikopo
-
BODI ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya juu (HESLB), imetangaza kufungua
dirisha la...
2 hours ago
0 MAONI YAKO:
Post a Comment