Hello ... mamboz ,chilling here
watching telenovela na nimeamua sasa kuangalia lipi na ku deal nalo na
sijajua hayo mengine ila hili la sani lazima nilijibu Period.
Najibu mimi as mimi kama Mlivyoandika ...
guys ikno and i understand kwamba u guys mnafanya kazi yenu but bora mfanye kwa umakini kidogo.
guys ikno and i understand kwamba u guys mnafanya kazi yenu but bora mfanye kwa umakini kidogo.
As i said am Grown ass ntawajibu kiutu Uzima Pia.....
MOJA KICHWA CHENU CHA HABARI KINASEMA MTANGAZAJI ADHALILISHWA NI DIVA LOVENESS LOVE
Okie....sasa
nawauliza nimedhalilishwa kwa kipi?kutukanwa? basi kama kutukanwa
kwenye social network ni kudhalilika angedhalilika Rihanna,kanye
west,jay z,Beyonce and et cetera and alot of American Artist akiwemo
Obama ambae yeye ni Rais wa Marekani na anashushiwa matusi kila siku
,FYI That never bothered me hata robo.
second sijawahi funga Page yangu ya Facebook never ....why wuld i do that?? like come on u shuld've known me better.IDGAF!!
and
last but not least sitaki andika sana got stuffs to do ikizingatiwa
kwamba leo ni jumatatu ...huyo Boyfriend watu waliosema wametembea na
boyfriend wangu ni nani?maana 3years now sina Boyfriend ...wewe
ulieandika Unaandika kisa mtu kasema au kaandika huh??thats so low
..ungeniuliza i guess !!
My love life is very Private na hata siku moja is not for Public consumption...
My love life is very Private na hata siku moja is not for Public consumption...
so whatever ulichoandika was so low.get a Grip
bubye
0 MAONI YAKO:
Post a Comment