June 16, 2012

ZAWADI YA KWANZA NILIIPOKEA ILIPOGONGA SAA 6 USIKU BAADA YA TAR 14 JUNE

A
Zawadi ilikuwa ni kutoka kwa Swahiba wangu Peter
Tulikuwa wa nne ilipogonga saa 6 kamili usiku

Ni siku yangu kubwa sina budi kujidai 
"IT'S MY BIRTHDAY"
Ndio New Year kwangu
MUNGU ndio alieamua niwepo tena, namshukuru sana

Me, Ibra and Khadija "GOBOS United"


Mazuri machache ya kuwahusia ni haya:

Msivunjwe mioyo na waliokwisha vunjika mioyo
Maana hawana matumaini na hawatakuwa na busara za kuwashauri.

Msikatishwe tamaa na waliokwisha kata tamaa, maana hawakumbuki nyuma na mbele wanaona giza.
Mawazo na maneno yao yatakuwa ni ya kusitisha safari yako isifikie mafanikio

RESPECT TO MY MAMA "MARTHA MBIBO"
NI zaidi ya mwanamke.

Party itakuwa Nyumbani Lounge karibuni tujumuike
Chuma hakiunguzwi na moto wa Kiberiti
Ila kinapata moto tu

MUCH LOVE
JIDE

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE