Akizungumza
na Teentz.com muda mfupi baada ya kupokea ‘dinga’ hiyo aina ya Land
Cruiser Prado TX kutoka kwa wakala aliyekuwa akishughulikiwa mpango
mzima wa kuingia kwake hapa Bongo, Diamond alifunguka kuwa alikuwa
na mpango wa kuvuta mkoko ‘dizaini’ hiyo kitambo lakini kuna mambo
kadhaa yakawa yanachelewesha.
Kwa habari zaidi unaweza kucheki ..www.thisisdiamond.com
0 MAONI YAKO:
Post a Comment