August 28, 2012

Msanii wa bongo fleva Linex Ameongea kuhusu ajali waliyoipata wakielekea kigoma leo .Linex amesema hawakuwa kwenye mwendo wa kasi  kwani show zao ni weekend so mwendo wao ulikuwa mdogo sana na ndio maana haikuwa ajali kubwa .Dancer mmoja wa Suma lee ameumia Mguu na Gari la Suma Lee ndio lililoumia sana upande wa mbele,kwani taa zimepasuka na sehemu ya mbele kuharibika sana. Ajali ilisababishwa na basi la abiria lililokuwa katikati ya barabara kwenye kona kali, ambapo ili kulikwepa lazima Suma angetakiwa atoke nnje ya barabara, ndipo gari ilipomshinda na kugonga mti .Linex alikuwa  sambamba na Baba levo na Suma lee ambao wana show tatu weekend hii Ijumaa mjini Kigoma , Jumamosi ni Kasulu na Jumapili ni Bujumbura. Thank God Wako Poa.

Related Posts:

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE