
.

B12 mkali wa XXL ya CLOUDS FM ndio alihost show akishirikiana na Adam Mchomvu.

Adam Mchomvu, mkali mwingine wa XXL aliehost show fresshhhh kabisa.

Nuru akiwa kazini.

.

.

.

Recho nae alifanya poa sana.. kuna video yake hapo chini jinsi alivyovionyesha viuno pamoja na dancers wake.

.

.

Stamina kama kawa.

Dancers wa THT.

Shetta.

Dancers wa Shetta.

Ferooz.

Baadhi ya wakali wa bongo movie walikuepo pia… hapa ni Steve Nyerere akiwa na Shilole.

.

Steve Nyerere na Aunt Ezekiel.

.

Wema Sepetu, Aun Ezekiel, Shilole na JB.

CMB Prezzo.

.

.

.

.

Linah Sanga.

.

Picha zote zimepigwa na Millard Ayo
0 MAONI YAKO:
Post a Comment