August 10, 2012

 Wiki  iliyopita  wasanii  wa:  BONGO FLEVA MKOANI  MOROGORO  WALIFANYA  ZIARA  YA  PAMOJA  YA  KUWATEMBELEA  WAGONJWA WALIOLAZWA  KATIKA  HOSPITAL  YA  MKOA  WA  MOROGORO.
   
KATIKA  ZIARA  HIYO  AMBAYO  HAIJAWAHI  KUTOKEA  MKOANI  HAPA  WASANII  HAO WALITEMBELEA  WORD  ZOTE   HUKU  WAKIZUNGUMZA  NA  WAGONJWA  WALIOLAZWA  HAPO.
  ZIARA   HIYO  ILIYORATIBIWA  NA  MDAU  WA MZIKI  HUWO  SALIM CHUMA  ILIWAKUSANYA  WASANII  NA  WADAU  KWA  JUMLA.  WASANII  WALIUKUWAPO  KATIKA  ZIARA  HIYO  NI PAMOJA  NA  STAMINA,  CRISS  WAMARYA,  LOTTA, MAN  PRINCE NA  WASANII  WENGINE  WENGI,  WAKIWA  SAMBAMBA  NA  PRODUCER  GQ  WA  DIGITAL VIBES,  EDDIE  MASALI,  AHMAD MACHAKU  NA WENGINE  WENGI.
    BAADA  YA  ZIARA  HIYO  WASANII  HAO WALIFANYA  KIKAO  KATIKA  UKUMBI  WA  BWALO  NA  KUPANGA MAMBO  YAO  KWA  PAMOJA,  HUKU  WAKIJADILI  MAENDELEO  Y  MZIKI  HUWO  NA  ZIARA  ZINGINE  AMBAYO  WATAFANYA  KWA  PAMOJA.   ALHMIS    16-8-2012  WAMEPANGA  KUWATEMBELEA  WATOTO  YATIMA.

Related Posts:

  • Tundu Lissu akamatwa uwanja wa Ndege Mbunge Tundu Lissu. Rais wa Chama cha wanasheria Tanganyika  na  Mwanasheria wa CHADEMA Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu amekamatwa na polisi Uwanja wa ndege wa Mwalimu Julius Nyerere, Da… Read More
  • Usajili: Yanga yampata mlithi wa Msuva YANGA SC imemsajili kiungo chipukizi, Baruan Yahya Akilimali aliyekuwa anasoma nchini Uganda kwa mkataba wa miaka miwili. Winga huyo wa kulia anayeweza kucheza na upande wa kushoto pia, amesaini leo mkataba wa mia… Read More
  • Mtoto wa Future na Ciara apata dili   Mtoto wa rapper Future na mwanamuziki Ciara, Zahir Wilbur ambaye kwa sasa analelewa na mama yake pamoja na baba yake wa kambo Russel Wilson, amepata dili lake la kwanza la kuingiza fedha nyingi. Zahir ambaye a… Read More
  • Exclusive: nipo tayari kujiunga WCB Barakah The Prince Mwanamuziki Barakah Da Prince amesema yupo tayari kujiunga na lable ya WCB inayomilikiwa na mwanamuziki Diamond. Akizungumza katika kipindi cha Ala za Roho cha Clouds Fm kinachoongwa na Diva The Bawse, Baraka amesema. T… Read More
  • Siogopi kufungwa – Rais Magufuli Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli amesema atawatetea Watanzania kwa nguvu zake zote juu ya majizi huku akisema haogopi kufungwa badala yake majizi ndio yatakayo fungwa. Rais Mgufuli ames… Read More

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE