September 07, 2012



Hii ndio stage yenyewe itakayokupa nafasi ya kuwaona wakali wako wa bongofleva kama Mwana Fa, Godzila, Rich Mavoko, Recho, Juma Nature, Ben Pol, Nikki wa Pili, Mabeste, Shilole na wengine, kadi ya mwaliko utailipia elfu 5 tu kuanzia saa 12 kwenye uwanja wa Ally Hassan Mwinyi, Asante Sebastian Maganga kwa picha.

Related Posts:

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE