Msanii wa muziki wa bongo fleva toka mkoani Morogoro CHRISSS WAMARYA, amewaibukia mashabiki wake kwa kuwaomba msamaha kama kuna makosa yoyote mbele yake.Akiandika katika ukurasa wake wa facebook Chriss amekili kwamba kama binadamu kuna mapungufu mbele yake na hakukamilika, hivyo kuwataka mashabiki wake na wadau kumsamehee kwa lolote alilotenda mbele yao.
"Najua inakuwaga ngumu sana kusema SAMAANI kwa watu wengi hapa duniani.Ila nikiwa kama Msanii na umarufu wangu wote leo hii napenda kusema hilo.
KWANZA NAPENDA KUOMBA MSAMAA KWAWOTE AMBAO NILIWAKOSEA KWA MAANA MOJA AU NYINGINE,KUAZIA WATU WA RADIO,TV NA MASHABIKI WANGU WOTE.
Nimejaribu kukaa na kuwaza jambo kama hilo ambalo libabusara sana katika jamii hii ya sasa.
Hiyo ni kauli ya msanii Chriss Wamarya. bg up kwake kwani haijawai kutokea kwa msanii yoyote wa kibongo kufanya hivyo.
"Najua inakuwaga ngumu sana kusema SAMAANI kwa watu wengi hapa duniani.Ila nikiwa kama Msanii na umarufu wangu wote leo hii napenda kusema hilo.
KWANZA NAPENDA KUOMBA MSAMAA KWAWOTE AMBAO NILIWAKOSEA KWA MAANA MOJA AU NYINGINE,KUAZIA WATU WA RADIO,TV NA MASHABIKI WANGU WOTE.
Nimejaribu kukaa na kuwaza jambo kama hilo ambalo libabusara sana katika jamii hii ya sasa.
Hiyo ni kauli ya msanii Chriss Wamarya. bg up kwake kwani haijawai kutokea kwa msanii yoyote wa kibongo kufanya hivyo.
0 MAONI YAKO:
Post a Comment