October 24, 2012

 Tala  Vencha
   

Mkali  wa  Media Tala vencha akiwa na binti  yake

Hatimaye  usiku wa Jumaamosi ya Th 21/ oct/ 2012 mkali wa media Tanzania Muntala Talvencha,  alifanikiwa kuitwa  baba  baada  ya  mkewe  kujifungua mtoto wa  kike. Akitia  story na ubalozini Tala amesema amefurahi mkewe kujifungua  salama na kufurahia zaidi  maisha  ya ndoa  na Familia  kwa jumla.
Mungu mbariki Tala na familia  yake na umpe makuzi  bora binti  yake  huyo.

Hapa  akiwa  amemkumbatia mwanaye.



Related Posts:

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE