October 24, 2012

 Tala  Vencha
   

Mkali  wa  Media Tala vencha akiwa na binti  yake

Hatimaye  usiku wa Jumaamosi ya Th 21/ oct/ 2012 mkali wa media Tanzania Muntala Talvencha,  alifanikiwa kuitwa  baba  baada  ya  mkewe  kujifungua mtoto wa  kike. Akitia  story na ubalozini Tala amesema amefurahi mkewe kujifungua  salama na kufurahia zaidi  maisha  ya ndoa  na Familia  kwa jumla.
Mungu mbariki Tala na familia  yake na umpe makuzi  bora binti  yake  huyo.

Hapa  akiwa  amemkumbatia mwanaye.



Related Posts:

  • Diva wa clouds afunguka kila kitu ndani ya mkasi   Kama ulipitwa na kipindi hiki, mtangazaji mwenye sauti ya kumtoa nyoka pangoni katika kipindi cha mahusiano cha Ala za roho cha clouds Fm, Diva Gissele Malinzi @Divathebawse amefunguka kila kitu alichokuwa ana… Read More
  • Kilichotokea Escape one katika show ya kuukaribisha mwaka 2016 Msanii Chemical ndiye aliyefungua pazia la burudani pande za Escape 1 kuukaribisha mwaka Mpya 2016. Watu mbalimbali waliofika Escape 1 kuukaribisha mwaka Mpya 2016. Msanii Matonya akiwapa burudani mashabiki waliofika Escap… Read More
  • Vigodoro, baikoko marufuku BARAZA la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC), limeanza kung’ata kwa kutumia kanuni ili kudhibiti uchafuzi wa mazingira kwa kelele na mitetemo. Kwa sasa mtu akitaka kufanya sherehe mtaani, kupiga muziki k… Read More
  • Kilichoandikwa katika magazeti ya leo hii ni hiki hapa Leo January 2, 2016 tumekuwekea tena stori zote kubwa za Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye Udaku, michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea. Pitia katika meza ya magazeti iliyo karibu nawe . . . . . . . … Read More
  • Diamond abeba tuzo nyingine Nigeria SHARE S2016 mwaka mwingine unaoanza vizuri kwa muziki wa Bongofleva wenye mizizi yake Tanzania ambapo usiku wa January 01 2016 zimetolewa Tuzo za HEADIES Awardsndani ya Lagos Nigeria. List ka… Read More

0 MAONI YAKO:

Post a Comment

Popular Posts

WADAU

BLOG ZINGINE