nHili ndilo jukwaa la Serengeti
Fiesta 2012 ambalo mwanamuziki wa Hiphop Rick Ross “The Boss”kutoka
kutoka nchini Marekani ataongoza wasanii mbalimbali wa nyumbani kutoa
burudani katika tamasha hilo litakalofanyika kwenye viwanja wa Leaders
jijini Dar es salaam Oktoba 6 Jumamosi ijayo.
SPIKA ZUNGU AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA MABALOZI WA EU
-
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Mussa Azzan Zungu,
amekutana na kufanya mazungumzo na baadhi ya Mabalozi wa Nchi Wanachama wa
Umo...
39 minutes ago





0 MAONI YAKO:
Post a Comment